Job · Biblia (Kiswahili)

Job 25

1Ndipo Bildadi Mshuhi akajibu: 1

2“Mamlaka na kuheshimiwa ni vyake Mungu; 2 yeye huthibitisha amani katika mbingu juu. 1

3Je, majeshi yake yaweza kuhesabika? 2 Ni nani asiyeangaziwa na nuru yake? 1

4Mtu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu? 2 Awezaje mtu aliyezaliwa na mwanamke kuwa safi? 1

5Ikiwa hata mwezi sio mwangavu 2 nazo nyota si safi machoni pake, 1

6sembuse mtu ambaye ni funza: 2 mwanadamu ambaye ni buu tu!”

← Job 24Read In The App, Free →Job 26 →

Study Job 25

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142