Psalms 110
1Bwana amwambia Bwana wangu: 2 “Keti mkono wangu wa kuume, 1 mpaka nitakapowafanya adui zako 2 kuwa mahali pa kuweka miguu yako.” 1
2Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni; 2 utatawala katikati ya adui zako. 1
3Askari wako watajitolea kwa hiari 2 katika siku yako ya vita. 1 Ukiwa umevikwa fahari takatifu, 2 kutoka tumbo la mapambazuko 2 utapokea umande wa ujana wako. + 110:3 Au: vijana wako watakujia kama umande. 1
4Bwana ameapa, 2 naye hatabadilisha mawazo yake: 2 “Wewe ni kuhani milele, 2 kwa mfano wa Melkizedeki.” 1
5Bwana yuko mkono wako wa kuume, 2 atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake. 1
6Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga 2 na kuwaponda watawala wa dunia nzima. 1
7Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, + 110:7 Au: Yeye atoaye mtu wa kurithi mwingine atamweka kwenye mamlaka. 2 kwa hiyo atainua kichwa chake juu.