Psalms · Biblia (Kiswahili)

Psalms 142

1Namlilia Bwana kwa sauti, 2 nainua sauti yangu kwa Bwana anihurumie. 1

2Namimina malalamiko yangu mbele zake, 2 mbele zake naeleza shida zangu. 1

3Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu, 2 wewe ndiwe unajua njia zangu. 1 Katika njia ninayopita 2 watu wameniwekea mtego. 1

4Tazama kuume kwangu na uone, 2 hakuna hata mmoja anayejihusisha nami. 1 Sina kimbilio, 2 hakuna anayejali maisha yangu. 1

5Ee Bwana, nakulilia wewe, 2 nasema, “Wewe ni kimbilio langu, 2 fungu langu katika nchi ya walio hai.” 1

6Sikiliza kilio changu, 2 kwa sababu mimi ni mhitaji sana; 1 niokoe na wale wanaonifuatilia, 2 kwa kuwa wamenizidi nguvu. 1

7Nifungue kutoka kifungo changu, 2 ili niweze kulisifu jina lako. 1 Ndipo wenye haki watanizunguka, 2 kwa sababu ya wema wako kwangu.

← Psalms 141Read In The App, Free →Psalms 143 →

Study Psalms 142

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschCharles SpurgeonScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748495051525354555657585960616263646566676869707172737475767778798081828384858687888990919293949596979899100101102103104105106107108109110111112113114115116117118119120121122123124125126127128129130131132133134135136137138139140141142143144145146147148149150