Psalms · Biblia (Kiswahili)

Psalms 6

1Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, 2 wala usiniadhibu katika ghadhabu yako. 1

2Unirehemu Bwana, 2 kwa maana nimedhoofika; 1 Ee Bwana, uniponye, 2 kwa maana mifupa yangu 2 ina maumivu makali. 1

3Nafsi yangu ina uchungu mwingi. 2 Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini? 1

4Geuka Ee Bwana, unikomboe, 2 uniokoe kwa sababu ya fadhili zako. 1

5Hakuna mtu anayekukumbuka 2 akiwa amekufa. 1 Ni nani awezaye kukusifu 2 akiwa kuzimu? 1

6Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni; 2 usiku kucha nafurikisha 2 kitanda changu kwa machozi; 1 nimelowesha viti vyangu vya fahari 2 kwa machozi. 1

7Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, 2 yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote. 1

8Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, 2 kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu. 1

9Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, 2 Bwana amekubali sala yangu. 1

10Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, 2 watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.

← Psalms 5Read In The App, Free →Psalms 7 →

Study Psalms 6

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschCharles SpurgeonScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748495051525354555657585960616263646566676869707172737475767778798081828384858687888990919293949596979899100101102103104105106107108109110111112113114115116117118119120121122123124125126127128129130131132133134135136137138139140141142143144145146147148149150