Psalms · Biblia (Kiswahili)

Psalms 8

1Ee Bwana, Bwana wetu, 2 tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote! 1 Umeuweka utukufu wako 2 juu ya mbingu. 1

2Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao 2 umeamuru sifa, 1 kwa sababu ya watesi wako, 2 kumnyamazisha adui na mlipiza kisasi. 1

3Nikiziangalia mbingu zako, 2 kazi ya vidole vyako, 1 mwezi na nyota, 2 ulizoziratibisha, 1

4mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, 2 binadamu ni nani hata unamjali? 1

5Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, 2 ukamvika taji ya utukufu na heshima. 1

6Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; 2 umeweka vitu vyote chini ya miguu yake. 1

7Mifugo na makundi yote pia, 2 naam, na wanyama wa kondeni, 1

8ndege wa angani na samaki wa baharini, 2 naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari. 1

9Ee Bwana, Bwana wetu, 2 tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!

← Psalms 7Read In The App, Free →Psalms 9 →

Study Psalms 8

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschCharles SpurgeonScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748495051525354555657585960616263646566676869707172737475767778798081828384858687888990919293949596979899100101102103104105106107108109110111112113114115116117118119120121122123124125126127128129130131132133134135136137138139140141142143144145146147148149150