Psalms · Biblia (Kiswahili)

Psalms 4

1Nijibu nikuitapo, 2 Ee Mungu wangu mwenye haki! 1 Nipumzishe katika shida zangu; 2 nirehemu, usikie ombi langu. 1

2Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu 2 kuwa aibu mpaka lini? 1 Mtapenda udanganyifu 2 na kufuata miungu ya uongo mpaka lini? 1

3Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga 2 wale wamchao kwa ajili yake; 2 Bwana atanisikia nimwitapo. 1

4Katika hasira yako, usitende dhambi. 2 Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya 2 mkiichunguza mioyo yenu. 1

5Toeni dhabihu zilizo haki; 2 mtegemeeni Bwana. 1

6Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye 2 kutuonyesha jema lolote?” 2 Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako. 1

7Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa 2 kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi. 1

8Nitajilaza chini na kulala kwa amani, 2 kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, 2 waniwezesha kukaa kwa salama.

← Psalms 3Read In The App, Free →Psalms 5 →

Study Psalms 4

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschCharles SpurgeonScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748495051525354555657585960616263646566676869707172737475767778798081828384858687888990919293949596979899100101102103104105106107108109110111112113114115116117118119120121122123124125126127128129130131132133134135136137138139140141142143144145146147148149150