Psalms · Biblia (Kiswahili)

Psalms 138

1Nitakusifu wewe, Ee Bwana, kwa moyo wangu wote, 2 mbele ya “miungu” nitaimba sifa zako. 1

2Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu, 2 nami nitalisifu jina lako 1 kwa ajili ya upendo wako 2 na uaminifu, 1 kwa kuwa umelikuza jina lako na neno lako 2 juu ya vitu vyote. 1

3Nilipoita, ulinijibu; 2 ulinifanya jasiri na mwenye moyo hodari. 1

4Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee Bwana, 2 wakati wanaposikia maneno ya kinywa chako. 1

5Wao na waimbe kuhusu njia za Bwana, 2 kwa maana utukufu wa Bwana ni mkuu. 1

6Ingawa Bwana yuko juu, 2 humwangalia mnyonge, 1 bali mwenye kiburi 2 yeye anamjua kutokea mbali. 1

7Nijapopita katikati ya shida, 2 wewe unayahifadhi maisha yangu, 1 unanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, 2 kwa mkono wako wa kuume unaniokoa. 1

8Bwana atatimiza kusudi lake kwangu, 2 Ee Bwana, upendo wako wadumu milele: 2 usiziache kazi za mikono yako.

← Psalms 137Read In The App, Free →Psalms 139 →

Study Psalms 138

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschCharles SpurgeonScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748495051525354555657585960616263646566676869707172737475767778798081828384858687888990919293949596979899100101102103104105106107108109110111112113114115116117118119120121122123124125126127128129130131132133134135136137138139140141142143144145146147148149150