Psalms · Biblia (Kiswahili)

Psalms 75

1Ee Mungu, tunakushukuru, 2 tunakushukuru wewe, 1 kwa kuwa jina lako li karibu; 2 watu husimulia matendo yako ya ajabu. 1

2Unasema, “Ninachagua wakati maalum; 2 ni mimi nihukumuye kwa haki. 1

3Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka, 2 ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara. 1

4Kwa wale wenye majivuno ninasema, 2 ‘Msijisifu tena,’ 2 kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu. 1

5Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu; 2 msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’ ” 1

6Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi 2 au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu. 1

7Bali Mungu ndiye ahukumuye: 2 Humshusha huyu na kumkweza mwingine. 1

8Mkononi mwa Bwana kuna kikombe 2 kilichojaa mvinyo unaotoka povu 2 uliochanganywa na vikolezo; 1 huumimina, nao waovu wote wa dunia 2 hunywa mpaka tone la mwisho. 1

9Bali mimi, nitatangaza hili milele; 2 nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo. 1

10Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote, 2 bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.

← Psalms 74Read In The App, Free →Psalms 76 →

Study Psalms 75

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschCharles SpurgeonScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748495051525354555657585960616263646566676869707172737475767778798081828384858687888990919293949596979899100101102103104105106107108109110111112113114115116117118119120121122123124125126127128129130131132133134135136137138139140141142143144145146147148149150