Psalms · Biblia (Kiswahili)

Psalms 28

1Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu; 2 usiwe kwangu kama kiziwi. 1 Kwa sababu ukinyamaza 2 nitafanana na walioshuka shimoni. 1

2Sikia kilio changu unihurumie 2 ninapokuita kwa ajili ya msaada, 1 niinuapo mikono yangu kuelekea 2 Patakatifu pa Patakatifu pako. 1

3Usiniburute pamoja na waovu, 2 pamoja na hao watendao mabaya, 1 ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri, 2 lakini mioyoni mwao wameficha chuki. 1

4Walipe sawasawa na matendo yao, 2 sawasawa na matendo yao maovu; 1 walipe sawasawa na kazi za mikono yao, 2 uwalipe wanavyostahili. 1

5Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana, 2 na yale ambayo mikono yake imetenda, 1 atawabomoa na kamwe 2 hatawajenga tena. 1

6Bwana asifiwe, 2 kwa maana amesikia kilio changu 2 nikimwomba anihurumie. 1

7Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu, 2 moyo wangu umemtumaini yeye, 2 nami nimesaidiwa. 1 Moyo wangu unarukaruka kwa furaha 2 nami nitamshukuru kwa wimbo. 1

8Bwana ni nguvu ya watu wake, 2 ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake. 1

9Waokoe watu wako na uubariki urithi wako; 2 uwe mchungaji wao na uwabebe milele.

← Psalms 27Read In The App, Free →Psalms 29 →

Study Psalms 28

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschCharles SpurgeonScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748495051525354555657585960616263646566676869707172737475767778798081828384858687888990919293949596979899100101102103104105106107108109110111112113114115116117118119120121122123124125126127128129130131132133134135136137138139140141142143144145146147148149150