Psalms · Biblia (Kiswahili)

Psalms 16

1Ee Mungu, uniweke salama, 2 kwa maana kwako nimekimbilia. 1

2Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; 2 pasipo wewe sina jambo jema.” 1

3Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, 2 ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao. 1

4Huzuni itaongezeka kwa wale 2 wanaokimbilia miungu mingine. 1 Sitazimimina sadaka zao za damu 2 au kutaja majina yao midomoni mwangu. 1

5Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; 2 umeyafanya mambo yangu yote yawe salama. 1

6Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, 2 hakika nimepata urithi mzuri. 1

7Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, 2 hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha. 1

8Nimemweka Bwana mbele yangu daima. 2 Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, 2 sitatikisika. 1

9Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; 2 mwili wangu nao utapumzika salama, 1

10kwa maana hutaniacha kaburini, 2 wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. 1

11Umenijulisha njia ya uzima; 2 utanijaza na furaha mbele zako, 1 pamoja na furaha za milele 2 katika mkono wako wa kuume.

← Psalms 15Read In The App, Free →Psalms 17 →

Study Psalms 16

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschCharles SpurgeonScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748495051525354555657585960616263646566676869707172737475767778798081828384858687888990919293949596979899100101102103104105106107108109110111112113114115116117118119120121122123124125126127128129130131132133134135136137138139140141142143144145146147148149150