Psalms · Biblia (Kiswahili)

Psalms 121

1Nayainua macho yangu nitazame vilima, 2 msaada wangu utatoka wapi? 1

2Msaada wangu hutoka kwa Bwana, 2 Muumba wa mbingu na dunia. 1

3Hatauacha mguu wako uteleze, 2 yeye akulindaye hatasinzia, 1

4hakika, yeye alindaye Israeli 2 hatasinzia wala hatalala usingizi. 1

5Bwana anakulinda, 2 Bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume, 1

6jua halitakudhuru mchana, 2 wala mwezi wakati wa usiku. 1

7Bwana atakukinga na madhara yote, 2 atayalinda maisha yako, 1

8Bwana atakulinda unapoingia na unapotoka, 2 tangu sasa na hata milele.

← Psalms 120Read In The App, Free →Psalms 122 →

Study Psalms 121

KJVMatthew HenryJamieson-Fausset-BrownAdam ClarkeJohn WesleyJohn CalvinKeil and DelitzschCharles SpurgeonScofieldFamily Bible NotesGeneva Bible Notes (1599)Reina-Valera (Español)Bíblia Almeida (Português)Luther Bibel (Deutsch)Bible Louis Segond (Français)

All Chapters

123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748495051525354555657585960616263646566676869707172737475767778798081828384858687888990919293949596979899100101102103104105106107108109110111112113114115116117118119120121122123124125126127128129130131132133134135136137138139140141142143144145146147148149150